7 Na sasa, Yehova Mungu wangu, wewe mwenyewe umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yangu, nami ni mvulana mdogo tu.+ Sijui jinsi ya kutoka na jinsi ya kuingia.+
24 Lakini watu wa nchi wakawapiga na kuwaua wale wote waliompangia hila+ Mfalme Amoni. Kisha watu wa nchi wakamfanya Yosia+ mwana wake kuwa mfalme mahali pake.