Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme;+ naye akachukua kila kitu.+ Naye akachukua ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+

  • Ayubu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+

      Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.

  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+

      Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+

      Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+

  • Methali 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+

  • Mathayo 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Acheni kujiwekea hazina+ duniani, ambako nondo na kutu hula, na ambako wezi huvunja na kuiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki