Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+

  • Mhubiri 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa mwanadamu hakuna jambo bora kuliko kwamba ale, naam, anywe na kuifanya nafsi yake ione mema kwa sababu ya kazi yake ngumu.+ Hilo pia mimi nimeliona, naam mimi, ya kwamba linatoka kwenye mkono wa Mungu wa kweli.+

  • Mhubiri 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+

  • Mhubiri 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nimeona kwamba hakuna jambo bora kuliko kwamba mwanadamu afurahie kazi zake,+ kwa maana hilo ndilo fungu lake; kwa kuwa ni nani atakayemleta aone mambo yatakayokuwako baada yake?+

  • Isaya 65:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake; hawatapanda na mtu mwingine ale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti;+ na watu wangu waliochaguliwa wataitumia kazi ya mikono yao wenyewe kikamilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki