Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+

  • 1 Samweli 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.

  • Mathayo 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa sababu hiyo, tazameni, ninatuma+ kwenu manabii na watu wenye hekima na wafundishaji wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika mtini, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa jiji baada ya jiji;

  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+

  • 1 Petro 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wapendwa, msishangazwe juu ya moto unaowaka katikati yenu, unaowapata ninyi ili kuwa jaribu,+ kana kwamba jambo geni linawapata.

  • 1 Petro 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini, mkiisha kuteseka kitambo kidogo,+ Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa, aliyewaita ninyi kwenye utukufu wake wa milele+ katika muungano+ na Kristo, yeye mwenyewe atamaliza mazoezi yenu, atawafanya ninyi kuwa imara,+ atawafanya ninyi kuwa wenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki