Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mwanamke akaona kwamba mti huo ulikuwa mzuri kwa chakula na kwamba ulikuwa kitu cha kutamanika kwa macho, ndiyo, mti huo ulikuwa wenye kupendeza kuutazama.+ Kwa hiyo akaanza kuchukua kati ya matunda yake akala. Baadaye akampa mume wake pia alipokuwa pamoja naye, naye akaanza kula.+

  • Mwanzo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Mungu akaiona dunia na, tazama! ilikuwa imeharibika,+ kwa sababu kila mwenye mwili alikuwa amejiharibia njia yake duniani.+

  • Mwanzo 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo wakasema: “Haya! Na tujijengee jiji na pia mnara na kilele chake kiwe mbinguni,+ na tujifanyie jina maarufu,+ tusije tukatawanyika juu ya uso wote wa dunia.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wametenda kwa uharibifu;+

      Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

      Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

  • Yeremia 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’

  • Marko 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Zaidi ya hayo, akaendelea kuwaambia: “Kwa ustadi mnaweka kando amri+ ya Mungu kusudi mbaki na mapokeo yenu.

  • Yakobo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa na tamaa yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki