1 Wafalme 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na wale wote walioalikwa ambao walikuwa pamoja na Adoniya wakaanza kutetemeka na kusimama, na kila mmoja akaenda njia yake.+ Methali 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+
49 Na wale wote walioalikwa ambao walikuwa pamoja na Adoniya wakaanza kutetemeka na kusimama, na kila mmoja akaenda njia yake.+
2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+