Mwanzo 41:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo,+ hakuna mtu mwenye busara na mwenye hekima kama wewe.+ Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+ Danieli 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo,+ hakuna mtu mwenye busara na mwenye hekima kama wewe.+
3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.