Zaburi 58:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ambaye hataisikiliza sauti ya watumbuizaji,+Ingawa mtu mwenye hekima anapiga mafundo kwa uganga.+ Yeremia 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova.
17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova.