Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Isaya 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu. 1 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa
21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu.
13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa