Mwanzo 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+ Isaya 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+ Mathayo 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo akayagusa macho yao,+ akisema: “Na iwe hivyo kwenu kulingana na imani yenu.”
10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+
10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+