Zaburi 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+ Mhubiri 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+
10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+
16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+