Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+

      Mimi nitangojea siku zote za kazi yangu ya kulazimishwa,+

      Mpaka kitulizo changu kije.+

  • Mhubiri 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea,+ na mpaka wakati usio na kipimo hawana fungu lolote tena katika chochote ambacho kitafanywa chini ya jua.+

  • Yeremia 51:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.

  • Mathayo 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki