Isaya 29:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtakaziwa fikira kutoka kwa Yehova wa majeshi kwa mngurumo na kwa tetemeko na kwa sauti kubwa, upepo wa dhoruba na tufani, na mwali wa moto unaoteketeza.”+ Nahumu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ataangamiza kwa ukamili mahali pake kwa furiko linalopita,+ na giza litawafuata adui zake.+
6 Mtakaziwa fikira kutoka kwa Yehova wa majeshi kwa mngurumo na kwa tetemeko na kwa sauti kubwa, upepo wa dhoruba na tufani, na mwali wa moto unaoteketeza.”+