Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+

      Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+

  • Yohana 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki