Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+ Zaburi 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+ Luka 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+ Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+