Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Basi, tafadhali, Ee Mungu wangu, macho+ yako yafunguliwe na masikio+ yako yaisikilize sala inayohusu mahali hapa.

  • Zaburi 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+

      Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+

  • Zaburi 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+

  • Zaburi 71:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unikomboe kwa uadilifu wako na kuniokoa.+

      Tega sikio lako kwangu na uniokoe.+

  • Zaburi 130:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee Yehova, uisikie sauti yangu.+

      Masikio yako na yasikilize sauti ya kusihi kwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki