2 Mambo ya Nyakati 6:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Basi, tafadhali, Ee Mungu wangu, macho+ yako yafunguliwe na masikio+ yako yaisikilize sala inayohusu mahali hapa. Zaburi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Zaburi 71:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unikomboe kwa uadilifu wako na kuniokoa.+Tega sikio lako kwangu na uniokoe.+ Zaburi 130:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, uisikie sauti yangu.+Masikio yako na yasikilize sauti ya kusihi kwangu.+
40 “Basi, tafadhali, Ee Mungu wangu, macho+ yako yafunguliwe na masikio+ yako yaisikilize sala inayohusu mahali hapa.
6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+