Isaya 43:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+ Yeremia 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Na kuna tumaini+ kwa ajili ya wakati wako ujao,’ asema Yehova, ‘na wana watarudi hakika katika eneo lao wenyewe.’”+ Mathayo 24:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.
5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+
17 “‘Na kuna tumaini+ kwa ajili ya wakati wako ujao,’ asema Yehova, ‘na wana watarudi hakika katika eneo lao wenyewe.’”+
31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.