Isaya 45:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele. Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+
17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.