9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+
8 Yehova ameapa kwa mkono wake wa kuume+ na kwa mkono wake wenye nguvu:+ “Sitawapa tena adui zako nafaka yako iwe chakula,+ wala wageni hawatakunywa divai yako mpya,+ ambayo umeifanyia kazi.