Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+

  • Waebrania 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+

  • Waebrania 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kama sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi+ wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua+ mara moja+ kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo+ ili kuondolea mbali dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+

  • 1 Yohana 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki