6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
6 Naye akapata mimba tena, akazaa binti. Na Yeye akamwambia: “Mwite jina lake Lo-ruhama,+ maana sitaionyesha rehema+ tena nyumba ya Israeli, kwa sababu hakika nitawaondolea mbali.+