Zaburi 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wapole watakula na kushiba;+Wale wanaomtafuta watamsifu Yehova.+Mioyo yenu na iishi milele.+ Zaburi 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu itajisifu katika Yehova;+Wapole watasikia na kushangilia.+ Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+
5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+