Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi yetu imekuwa ikimtarajia Yehova.+

      Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+

  • Zaburi 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na sasa, nimetumainia nini, Ee Yehova?

      Matarajio yangu yanakuelekea wewe.+

  • Waebrania 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili msiwe goigoi,+ bali muwe waigaji+ wa wale ambao kupitia imani na subira huzirithi ahadi.+

  • 2 Petro 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki