5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
3 Naye malaika+ wa Yehova akamwambia Eliya, Mtishbi:+ “Ondoka, nenda ukutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaambie, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu+ kabisa katika Israeli ndipo mnaenda kumuuliza Baal-zebubu mungu wa Ekroni?