2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu! Isaya 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akaondoka, akaenda, akarudi,+ akaanza kukaa katika Ninawi.+
13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!