10 Kwa maana mkono wa Yehova utatua juu ya mlima huu,+ na Moabu atakanyagwa chini+ katika mahali pake kama fungu la majani linavyokanyagwa chini katika mahali penye mbolea.+
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto,+ nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto, nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;+ nao watayateketeza na kuyameza. Na hakutakuwapo waokokaji katika nyumba ya Esau;+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.