20 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Hezekia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.