Isaya 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+ Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+ Yeremia 48:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “‘Ole wako, Ee Moabu!+ Watu wa Kemoshi+ wameangamia. Kwa maana wana wako wamechukuliwa mateka na binti zako wakawa mateka.
9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
46 “‘Ole wako, Ee Moabu!+ Watu wa Kemoshi+ wameangamia. Kwa maana wana wako wamechukuliwa mateka na binti zako wakawa mateka.