25 “Ikiwa utaenda kwenye nafaka ya mwenzako inayosimama, utachuma masuke yaliyoiva tu kwa mkono wako, lakini usiusogeze mundu huku na huku juu ya nafaka inayosimama ya mwenzako.+
22 “Sema, ‘Yehova asema hivi: “Maiti za wanadamu zitaanguka kama mbolea juu ya uso wa uwanja na kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni nyuma ya mvunaji, bila yeyote wa kukusanya.”’”+
13 “Tieni ndani mundu,+ kwa maana mavuno yameiva.+ Njooni, teremkeni, kwa maana shinikizo la divai limejaa.+ Mitungi ya shinikizo inafurika; kwa maana ubaya wao umekuwa mwingi.+