Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na watu wao waliouawa watatupwa nje; na harufu mbaya ya mizoga yao itapaa;+ na milima itayeyuka kwa sababu ya damu yao.+

  • Yeremia 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.

  • Ezekieli 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitakuacha juu ya nchi. Nitakutupa juu ya uso wa shamba.+ Nami nitavifanya viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vikae juu yako, nami nitawashibisha wanyama-mwitu wa dunia nzima kutokana nawe.+

  • Ufunuo 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki