Kutoka 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Siku sita utafanya kazi, bali siku ya saba utaishika sabato.+ Wakati wa kulima na wakati wa kuvuna utaishika sabato.+ Kumbukumbu la Torati 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+
21 “Siku sita utafanya kazi, bali siku ya saba utaishika sabato.+ Wakati wa kulima na wakati wa kuvuna utaishika sabato.+
12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+