53 Ndipo utalazimika kula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako,+ ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe, kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao.
20 Na mtu atakata upande wa kuume naye hakika atakuwa na njaa, na mtu atakula upande wa kushoto, nao hakika hawatashiba.+ Kila mmoja wao atakula nyama ya mkono wake mwenyewe,+
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+