Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Zaidi ya hayo, mfalme+ wa Misri akamfanya Eliakimu+ ndugu yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+

  • Yeremia 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nalo likaendelea kuja katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka kumalizika kwa mwaka wa kumi na moja wa Sedekia+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka Yerusalemu lilipoenda uhamishoni katika mwezi wa tano.+

  • Yeremia 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, yaani, mwaka wa kwanza wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni;

  • Yeremia 35:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na kusema:

  • Yeremia 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ikawa kwamba katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili likamjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki