Yeremia 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Nitatia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babiloni;+ nao lazima watamtumikia.+ Nami nitampa hata wanyama wa mwituni.”’”+ Danieli 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima,
14 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Nitatia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babiloni;+ nao lazima watamtumikia.+ Nami nitampa hata wanyama wa mwituni.”’”+
37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima,