Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+

      Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+

  • Hosea 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Zaidi ya hilo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako, wakati nitakapowarudisha tena watu wangu waliotekwa.”+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

  • Sefania 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wakati huo nitawaleta ndani ninyi, hata wakati wangu wa kuwakusanya ninyi pamoja. Kwa maana nitawafanya ninyi kuwa jina na sifa kati ya vikundi vyote vya watu wa dunia, ninapowakusanya ili kuwarudisha mateka wenu mbele ya macho yenu,” Yehova amesema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki