Mwanzo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+ Yeremia 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+
16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+
20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+