10 “‘“Kwa maana nimekaza uso wangu juu ya jiji hili kwa ajili ya msiba wala si kwa ajili ya mema,”+ asema Yehova. “Litatiwa mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ na hakika ataliteketeza kwa moto.”+
28 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili katika mkono wa Wakaldayo na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye lazima ataliteka.+