Yeremia 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akaniambia: “Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini juu ya wakaaji wote wa nchi.+ Yeremia 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Mtu mwepesi asijaribu kukimbia, na mwanamume mwenye nguvu asijaribu kuponyoka.+ Juu kaskazini+ kando ya ukingo wa mto Efrati wamejikwaa na kuanguka.’+
6 ‘Mtu mwepesi asijaribu kukimbia, na mwanamume mwenye nguvu asijaribu kuponyoka.+ Juu kaskazini+ kando ya ukingo wa mto Efrati wamejikwaa na kuanguka.’+