2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
12 Na ikatukia kwamba ilionekana kuwa Moabu alichoshwa akiwa juu ya mahali pa juu;+ naye akaja katika patakatifu pake kusali,+ naye hakuweza kutimiza lolote.+