18 Naye akatengeneza makomamanga na mistari miwili kuzunguka kikundi kimoja cha kamba za nyavu ili kufunika yale makombe yaliyokuwa juu ya nguzo; naye akafanya vivyo hivyo kwa lile kombe lingine.+
16 Tena, akatengeneza minyororo+ yenye mtindo wa mkufu na kuiweka juu ya vilele vya zile nguzo, akatengeneza makomamanga+ mia moja na kuyaweka kwenye ile minyororo.