Yeremia 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Podo lao ni kama kaburi lililo wazi; wote ni wanaume wenye nguvu.+ Yeremia 50:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Wanashika upinde na mkuki.+ Ni wakali nao hawataonyesha rehema yoyote.+ Sauti yao ni kama bahari ambayo imechafuka,+ nao watapanda juu ya farasi;+ wamejipanga kama mtu mmoja kwa ajili ya kupigana vita nawe, Ee binti ya Babiloni.+
42 Wanashika upinde na mkuki.+ Ni wakali nao hawataonyesha rehema yoyote.+ Sauti yao ni kama bahari ambayo imechafuka,+ nao watapanda juu ya farasi;+ wamejipanga kama mtu mmoja kwa ajili ya kupigana vita nawe, Ee binti ya Babiloni.+