Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+

  • Ezekieli 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sehemu ya tatu yako—kwa tauni watakufa,+ na kwa njaa watafikia mwisho wao katikati yako.+ Na sehemu nyingine ya tatu—kwa upanga wataanguka kukuzunguka pande zote. Na sehemu ya tatu ya mwisho nitawatawanya hata kuelekea kila upepo,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yao.+

  • Ezekieli 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Hivyo, pia, ndivyo itakavyokuwa wakati kutakapokuwa na hukumu zangu nne zenye madhara+—upanga na njaa na mnyama-mwitu mwenye kudhuru na tauni+—nitakazoleta juu ya Yerusalemu ili kumkatilia mbali kutoka humo mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki