Ayubu 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ijapokuwa unajua kwamba mimi sina kosa,+Na hakuna yeyote anayekomboa kutoka mkononi mwako?+ Zaburi 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+ Yeremia 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe, Ee Yehova, unanijua mimi vema;+ unaniona, nawe umeuchunguza moyo wangu katika muungano na wewe.+ Waweke peke yao kama kondoo wa kuchinjwa,+ na kuwatenga kwa ajili ya siku ya kuuawa.
3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+
3 Nawe, Ee Yehova, unanijua mimi vema;+ unaniona, nawe umeuchunguza moyo wangu katika muungano na wewe.+ Waweke peke yao kama kondoo wa kuchinjwa,+ na kuwatenga kwa ajili ya siku ya kuuawa.