17Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+
7 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Ukitembea katika njia zangu, nawe ukishika wajibu wangu,+ basi wewe ndiye utakayeihukumu nyumba yangu+ na kuzitunza nyua zangu pia; nami nitakupa uhuru wa kuingia katikati ya hawa wanaosimama karibu.’