19 Ingawa kuna mahali pako palipoharibiwa na mahali pako palipofanywa ukiwa na nchi ya mabomoko yako,+ ingawa sasa umesongamana mno kuweza kukaliwa, na wale wanaokumeza wamekuwa mbali,+
34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.