Ayubu 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amezuia pito langu kwa ukuta wa mawe,+ nami siwezi kupita;Naye anaweka giza katika barabara zangu.+ Zaburi 88:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+ Hosea 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa sababu hiyo ninazungushia njia yako ukuta wa miiba; nami nitasimamisha ukuta wa mawe juu yake,+ ili asipate kuona barabara zake.+
8 Amezuia pito langu kwa ukuta wa mawe,+ nami siwezi kupita;Naye anaweka giza katika barabara zangu.+
8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+
6 “Kwa sababu hiyo ninazungushia njia yako ukuta wa miiba; nami nitasimamisha ukuta wa mawe juu yake,+ ili asipate kuona barabara zake.+