Zaburi 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+ Zaburi 116:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anawalinda wasio na uzoefu.+Nilikuwa maskini, naye akaniokoa.+ Methali 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+ Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+
6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+