Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+ Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+ Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+ Methali 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimnyang’anye mtu wa hali ya chini kwa sababu yeye ni wa hali ya chini,+ wala usimkandamize mwenye kuteseka langoni.+ Isaya 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+
5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+
15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+
22 Usimnyang’anye mtu wa hali ya chini kwa sababu yeye ni wa hali ya chini,+ wala usimkandamize mwenye kuteseka langoni.+
23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+