Yeremia 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nawe uwaambie neno hili, ‘Macho yangu na yatiririke machozi usiku na mchana wala yasitulie,+ kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjwa kwa mavunjiko makuu+ kwa pigo lenye ugonjwa.+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
17 “Nawe uwaambie neno hili, ‘Macho yangu na yatiririke machozi usiku na mchana wala yasitulie,+ kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjwa kwa mavunjiko makuu+ kwa pigo lenye ugonjwa.+
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+