Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+

  • Zaburi 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza,+

      Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia.

  • Yeremia 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao hawatakuwa hata na mabaki, kwa sababu nitaleta msiba juu ya watu wa Anathothi,+ mwaka wa kuwakazia fikira.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki