Mwanzo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+ Ezekieli 16:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+
24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+
48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+